Mauaji ya akina mama wazee
Akina mama wazee 2,585 katika mikoa 8 waliuawa kikatili katika kipindi kisichozidi miaka 5 hadi kufikia Feb 2009 kwa tuhuma kuwa ni wachawi kwa mujibu wa Kituo cha Sheria na Haki za binadamu 2009. Hao ni wale tu walioripotiwa. Hawa wazee wengine wajane wanauliwa kwa madai ni wachawi ili tu wanyanganywe mashamba na mali zingine walizoachiwa na waume zao.JE JAMANI HILI SI JANGA LA TAIFA? Wagombea wetu wanalijua hili?
No comments:
Post a Comment